Semi za Kiswahili kuhusu Viungo vya Mwili na Nafasi yake kwa Jamii
Résumé
Semi za Kiswahili ni utanzu muhimu wa fasihi simulizi unaotumika katika mazungumzo ya kila siku miongoni mwa wanajamii. Semi hizo husawiri masuala mbalimbali ikiwemo viungo vya mwili. Katika lugha ya Kiswahili, ingawa kuna semi kadhaa zinazosawiri viungo vya mwili, hata hivyo kunakosekana utafiti wa kutosha kuhusu suala hili. Hivyo kushindwa kufahamu vizuri maudhui na dhima zake kwa jamii. Hivyo basi, lengo la makala hii ni kujadili mchango wa semi zinazohusu viungo vya mwili katika jamii ya wazungumzaji wa Kiswahili. Data za utafiti huu zilikusanywa kutoka maktabani. Utafiti umebaini kwamba semi hizo zinazosawiri viungo vya mwili zimejitokeza katika vipera mbalimbali ikiwemo methali, misemo, shirikina, misimu, vitendawili na nahau. Kutokana na wingi wa semi hizo makala hii imejikita katika vipera viwili tu; methali na misemo. Utafiti umebaini kwamba semi hizo zimesheheni maudhui anuwai. Miongoni mwa maudhui hayo ni kufanya kazi, umoja na ushirikiano, heshima, tabia njema, malezi na kutunza siri. Masuala mengine ni kifo, mapenzi, uangalifu na umakini katika masuala mbalimbali. Aidha, imebainika kwamba semi hizo zina dhima mbalimbali ikiwemo kuelimisha, kuendeleza falsafa ya Kiafrika, kuishauri na kuikinga jamii dhidi ya hatari na matatizo mbalimbali. Hivyo, semi zina mchango mkubwa katika kuendeleza jamii husika na kuwasilisha masuala mbalimbali. Tafiti zingine zifanyike ili kuchunguza zaidi kuhusu uwanja huu wa semi za viungo vya mwili katika Kiswahili.
Téléchargements
Références
Badru, Z. A. (2019). Dhima ya taswira katika ufasiri na uteguzi wa vitendawili. Kioo cha Lugha, 17, 179-198.
Balogun, O.A. (2006). A Jurisprudential analysis of Yoruba proverbs. The Cambrian Law
Review. 37, 86-97.
Beck, R. M. (2005). Texts on textiles: Proverbiality as characteristic of equivocal communication at the east African coast (Swahili). Journal of African Cultural Studies, 17(2), 131-160.
Bianco, C.D. & Emig, J. (eds.) (2009). Diwani ya methali: An anthology of proverbs in
Kiswahili. Vienna Department of African Studies University of Vienna.
De Klerk, Marissa, Jan Alewyn Nel & Eileen Koekemoer (2015) Work-to family enrichment:
Influences of work resources, work engagement and satisfaction among employees within the South African context, Journal of Psychology in Africa, 25:6, 537-546.
de Saussure, F. (1916). Course in general linguistics. Duckworth.
Finnegan, R. (2012). Oral literature in Africa. Open Book Publishers CIC Ltd.
Hussein, J. W. (2009). A discursive representation of women in sample proverbs from Ethiopia,
Sudan, and Kenya. Research in African Literatures, 40(3), 96-108.
Kezilahabi, E. (1985) African philosophy and the problem of literary interpretation. University of Wisconsin-Madison.
King’ei, K. & Ndalu, A. (2016). Kamusi ya semi za Kiswahili. East African Educational
Publishers.
Koskinen, Kaisa and Nike K. Pokorn (2020). Ethics and translation: An introduction, The
Routledge Handbook of Translation and Ethics, 1-10. https://www.routledgehandbooks.com/doi/10.4324/9781003127970-1
Lévi-Strauss, C. (1955). The structural study of myth. The Journal of American Folklore,
(270), 428-444.
Madumulla, J.S. (2001). Proverbs: A pack of lies? UTAFITI, 4, 257-74.
Mauya, A.B. 2008. Semi: Maana na matumizi. Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili.
Mberwa, A.R. (2024). Fantasia katika misemo ya kiitikadi ya jamii ya Wazanzibari. Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA).
Mbiti, J.S. (1969). African religion and philosophy. Heinemann Publisher Ltd.
Mbiti, J.S. (2011). Introduction to African religion. East African Publisher Ltd.
Mchepange, S.O. (2021) Usawiri kijinsia wa dhamira katika misemo ya kwenye vyombo vya usafiri nchini tanzania na dhima zake kwa jamii. Kioo cha Lugha, 19(1),161-179.
Mchepange, S.O. & Mahenge, E.G. (2022). Methali za Kiswahili zihusuzo ulemavu: Mitazamo na athari zake katika jamii. Swahili Forum, 29, 114-133.
Mieder, W. (2008). Proverbs speak louder than words: Folk wisdom in art, culture, folklore, history, literature and mass media. Peter Lang Publishing, Inc.
Mieder, Wolfgang. 2014. Futuristic paremiography and paremiology: A plea for the collection and study of modern proverbs. Folklore Fellows’ Network, 44: 13-17, 20-24.
Mng’aruthi, T. K. (2008). Fasihi simulizi na utamaduni. The Jommo Kenyatta Foundation.
Momoh, C.S. (2000). Philosophy in African proverbs. African Philosophy Projects Publications.
Mturo, N.G. (2011). Dhima ya semi zilizoandikwa kwenye daladala: uchambuzi wa vipengele vya lugha na dhamira. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mulokozi, M. M. (2017). Utangulizi wa fasihi ya Kiswahili. KAUTTU Ltd.
Omari, S. (2011). Poetics of daladala: ThecCase of HIV/AIDS dialogue in daladala ticket slogans. Kiswahili, 74:78-94.
Omari, S. (2011). The role of slang in understanding bongo flava content and culture. In Imani Sanga & Mitchel Strumpf (Eds.), Readings in Ethnomusicology (pp. 159-172). Dar es Salaam University Press.
Omari, S. (2019). Misemo ya ‘vyumba vimekaza’: Uchambuzi wa mtindo na dhima yake. Kiswahili, 82, 106-120.
Omari, S., Mkomwa, A. and Mlingi, S. (2016). Texts on Swahili cultural artefacts in Tanzania and the representation of women’s voice’. JULACE, 1(1), 131-150.
Ponera, A. S. & Kikula, I. S. (2017). Misemo ya vyombo vya usafiri. Afroplus Industries Limited.
Salla, H.D. (2017). Vitendawili vya Kwetu (1). African Proper Education Network.
Salla, H.D. (2017). Nahau za Kwetu (1). African Proper Education Network.
Schipper, M. (2006). Never marry a woman with big feet: women in proverbs from around the world. Amsterdam University Press.
Simiyu, W. F. (2011). Kitovu cha fasihi simulizi. Serengeti Bookshop.
Thakhathi, Andani & T. G. Netshitangani (2020) Ubuntu-as-Unity: Indigenous African proverbs as a ‘re-educating’ tool for embodied social cohesion and sustainable development, African Identities, 18:4, 407-420, DOI: 10.1080/14725843.2020.1776592
Wafula, R.M. & Njogu, K. (2007). Nadharia za uhakiki wa fasihi. Jomo Kenyatta Foundation.
Wamitila, K.W. (2001). Kamusi ya Methali. Longhorn Publishers.
Wamitila, K. W. (2003) Kamusi ya fasihi: Istilahi na nadharia. Focus Publications.
Wamitila, K. W. (2015). Kanzi ya Fasihi. Vide Muwa Publishers.
Zawawi, S. (2005). Kanga, the cloth that speaks. Azania Hills Press.
Téléchargements
Publiée
Comment citer
Numéro
Rubrique
Licence
(c) Tous droits réservés NJINGA&SEPÉ: Revista Internacional de Culturas, Línguas Africanas e Brasileiras 2025

Ce travail est disponible sous licence Creative Commons Attribution - Pas d'Utilisation Commerciale - Pas de Modification 4.0 International.
Les auteurs qui publient dans cette revue acceptent les conditions suivantes:
Les auteurs conservent le droit d'auteur et accordent à la revue le droit de première publication, l'œuvre étant simultanément concédée sous licence Creative Commons Attribution License, qui permet le partage de l'œuvre avec reconnaissance de la paternité de l'œuvre et publication initiale dans ce magazine.
Les auteurs sont autorisés à assumer séparément des contrats supplémentaires, pour la distribution non exclusive de la version de l'ouvrage publié dans cette revue (par exemple, publication dans un référentiel institutionnel ou en tant que chapitre de livre), avec reconnaissance de la paternité et publication initiale dans cette revue.
Les auteurs sont autorisés et encouragés à publier et distribuer leurs travaux en ligne (par exemple dans des référentiels institutionnels ou sur leur page personnelle) à tout moment avant ou pendant le processus éditorial, car cela peut générer des changements productifs, ainsi que citation des travaux publiés (voir l'effet du libre accès).